1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Frankfurt, Ujerumani. Siemens yateua mtendaji mkuu mpya.

21 Mei 2007

Bodi ya utendaji ya kampuni ya vyombo vya elekroniki ya Siemens imemtea mkurugenzi mpya mtendaji.

Peter Löscher, ambaye kwa hivi sasa ni meneja mwandamizi wa kampuni la utengenezaji wa madawa nchini Marekani la Merck, atachukua nafasi ya afisa mkuu mtendaji anayeondoka madarakani Klaus Kleinfeld ifikapo Julai mosi.

Kampuni la Siemens limekabiliwa katika miezi ya hivi karibuni na madai kuwa ililipa mamilioni ya Euro kama hongo ili kupata mikataba minono ya nje.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW