Freiburg yafuzu 16 bora Stuttgart yayumba Ligi ya Ulaya
23 Januari 2026
Matangazo
Christian Günter ndiye aliyefunga bao hilo la ushindi kunako dakika ya 82.
Kwengineko azma ya VfB Stuttgart ya kufuzu moja kwa moja kwenye hatua hiyo ya mtoano ya mashindano hayo ya Ulaya, imeingia doa baada ya kufungwa 2-0 na AS Roma ya Italia.
Kwa kushindwa huko Stuttgart sasa wanaishikilia nafasi ya 12 kwenye msimamo wa Ligi ya Ulaya.