1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mfanano wa ibada ya funga kati ya Waislamu na Wakristo

02:18

This browser does not support the video element.

Hawa Bihoga
11 Machi 2024

Mfungo wa kidini ni desturi ya kiroho inayowaunganisha Waislamu, Wakristo na imani nyingine nyingi duniani kote. Kufunga kunahusisha kujitafakari, huruma, na kutafuta uhusiano wa kina na Mungu. Kwa hivyo, kuna ufanano gani kati ya mwezi mtukufu wa Waislamu wa Ramadhani na msimu wa Kwaresima wa Ukristo?

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW