1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

GAZA: Shule ya Umoja wa Mataifa yashambuliwa

7 Mei 2007

Mtu mmoja ameuawa na wengine 6 wamejeruhiwa baada ya mtu mwenye bunduki kufyatua risasi katika shule inayoongozwa na Umoja wa Mataifa katika Ukanda wa Gaza.Afisa mmoja amesema,washukiwa 3 wamekamatwa.Kwa mujibu wa maafisa,shambulio hilo lililofanywa na wafuasi wa kundi lenye itikadi kali za kidini,lililenga sherehe ya michezo ya spoti ya shule hiyo,iliyohudhuriwa na wasichana na wavulana.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW