1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Gaza.Wapalestina waendelea kuuwawa katika mashambulizi ya Israel.

15 Oktoba 2006

Jeshi la Israel limewauwa Wapalestina wanane katika mashambulizi katika ukanda wa Gaza, ikiwa ni pamoja na wanachama kadha wa chama cha Hamas, wakati hali ya machafuko ikiendelea katika eneo hilo la pwani.

Watu 22 wameuwawa katika shambulio la anga katika eneo la ukanda wa Gaza katika muda wa saa 48 zilizopita wakati Israel haionyesha kupunguza mashambulizi yake dhidi ya Palestina.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW