1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Geneva: Uchaguzi mkuu nchini Uswisi.

21 Oktoba 2007

Uchaguzi mkuu unafanyika nchini Uswisi . Chama cha mrengo wa kulia Peoples Party kinatarajiwa kurudi madarakani. Chama hicho kimeendesha kampeni yenye mabishano kikitoa wito wa kurejeshwa makwao wageni wanaohusika na makosa makubwa ya uhalifu. Kampeni yake iliokosolewa vikali ni pamoja na mabango yenye picha ya nguruwe watatu weupe wakimuondoa nchini nguruwe mweusi. Wapinzani wa chama hicho wanasema hali hiyo inaweza kuhujumu sura ya Uswisi nchi za nje.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW