1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ghana: Kuyageuza mabaki ya mavuno mashambani kuwa bidhaa za kuuzwa

02:51

This browser does not support the video element.

2 Novemba 2021

Kampuni changa nchini Ghana hutumia mabaki ya mazao baada ya mavuno kwenye biashara. Kampuni hiyo Agromyx hushirikiana na wakulima wadogowadogo kushughulikia mabaki ya mazao yao kutengeneza vyakula au bidhaa za kuuzwa kama vitafunwa.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW