GOMA:Ndege ya mizigo ya mizigo yaanguka Goma ,watatu wafa18.05.200718 Mei 2007Nakili kiunganishiMatangazoWatu watatu wamekufa katika ajali ya ndege ya mizigo iliyotokea katika mji wa Goma mashariki mwa Jamhuri wa Kidemokrasi ya Kongo. Ndege hiyo ilianza kuwaka moto mara tu baada ya kuanza safari.