1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Guterres akutana na Rais Tshisekedi Kinshasa

01:29

This browser does not support the video element.

2 Septemba 2019

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amekutana na rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi mjini Kinshasa. Guterres amekuwa nchini DRC katika ziara ya siku tatu ambapo pia alitembelea kituo cha matibabu kwa wagonjwa wa mripuko wa Ebola.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW