1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Guterres ataka dunia iisaidie Somalia

8 Machi 2017

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameiomba jumuiya ya kimataifa kushirikiana kukomesha mateso wanayokumbana nayo wahanga wa janga la ukame katika eneo la Pembe ya Afrika hasa nchini Somalia.

Antonio Guterres in Kenia
Picha: Reuters/T.Mukoya

J2 08.03 Kenya: Uhuru and Guterres joint press conference - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Guterres ametoa wito huo alipowahutubia waandishi wa habari katika Ikulu ya mjini Nairobi. Naye Rais Uhuru Kenyatta amekariri kwamba mpango wa kuwahamisha wakimbizi kutoka kwenye kambi za wakimbizi bado utaendelea.
 

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW