1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

"Haki ya ushiriki, haki ya ujumuishi"

Mohamed Dahman22 Juni 2016

Hiyo ndiyo kaulimbiu ya Siku ya Kutetea Haki za Maalbino Duniani, inayoadhimishwa kila tarehe 13 Juni. DW imezungumza na Musa Kabimba, Katibu Mkuu wa chama cha watu wenye ualbino Tanzania katika Kinagaubaga.

Mtoto mwenye ualbino akicheza
Picha: Getty Images/AFP/Y. Chiba

[No title]

This browser does not support the audio element.