Haki za Watoto – Kipindi 05 – Unyanyasaji wa Watoto
22 Machi 2011
Hadithi ya Yolanda kutoka Afrika Kusini ni ya kawaida – alibakwa na baadaye akaambiwa yeye ndiye wa kulaumiwa. Kwa bahati nzuri amepata msaada kuweza kuondokana na kusononeka. Lakini haikuwa rahisi.