Hali katika Ukanda wa Gaza
8 Mei 2009Matangazo
Mamia ya watu, wengi wakiwa watoto na wanawake, waliuwawa, na maelfu kujeruhiwa. Pia Miundo mbinu iliharibiwa vibaya, yakiwemo pia majengo ya jumuiya zenye kutoa misaada ya kiutu.
Mwandishi wa habari Ahmed Rajab tangu siku chache zilizopita yuko katika mji wa Gaza, na Othman Miraji alasiri ya leo alizungumza naye na kumuuliza juu ya sura ilio nayo Ukanda huo hivi sasa.
Mwandishi: Ahmed Rajab
Mhariri: Josephat Charo