Hali nchini Misri baada ya Shambulio la Bomu lililotokea katika kanisa la Coptic
5 Januari 2011Matangazo
Waswasi zaidi unaelekezwa keshokutwa, ijumaa, siku ya kuadhimisha sherehe za Krismasi za watu wa madhehebu ya Kikristo ya Coptic. Vipi hali ya usalama ilivyo huko Kairo; ni suali Othman Miraji alilolielekeza kwa mwandishi wetu wa huko Kairo, Ismail Mfaume...
Mhariri: Othman Miraji
Mpitiaji: Josephat Charo