Katika pembe ya Afrika hali inazidi kuwa mbaya nchini Somalia ambapo kumearifiwa kutokea kwa mapigano kwenye viunga vya mji mkuu Somalia.
Matangazo
Mapigano hayo kati ya majeshi ya serikali ya mpito na wanamgambo wa muungano wa mahakama za kiislam yalihusisha makombora ambapo watu 12 wameuawa na wengine akdhaa kujeruhiwa.
Mwandishi wetu Kadra Mohamed anaripoti zaidi kutoka Mogadishu.