Mwenyekiti mwenza wa chama mbadala cha Ujerumani, AfD Petry Frauke aachana na chama hicho, Upinzani Togo waitisha mgomo wa nchi nzima siku ya ijumaa kuipinga serikali na Myanmar yalaumiwa kwa watetezi wa haki za binaadamu kwa mauaji ya Warohingya. Papo kwa Papo: 26.09.2017.