1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hali ya usalama mjini Mombasa na Nairobi

5 Mei 2014

Nchini Kenya hofu ya kuzorota kwa usalama inazidi kuenea kufuatia mashambulizi ya magaidi yaliyosababisha vifo vya jumla watu wa watano mijini Nairobi na Mombasa mwishoni mwa wiki huku zaidi ya 70 wakijeruhiwa.

Mashambulizi ya mabomu mjini Nairobi tarehe 04.05.2014
Mashambulizi ya mabomu mjini Nairobi tarehe 04.05.2014Picha: CARL DE SOUZA/AFP/Getty Images

Kufuatia mashambulizi hayo Chama kikuu cha upinzani nchini humo Orange Democratic Movement ODM kimetoa taarifa kuitaka serikali iondoe wanajeshi wake nchini Somalia kama hatua ya kuzuia mashambulizi zaidi ya kulipiza kisasi kutoka kwa kundi la Al-Shabaab. Mwandishi wetu Alfred Kiti na taarifa zaidi. Kusikiliza taarifa hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: Alfred Kiti

Mhariri: Mohammed Abdul-Rahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW