1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

HALI YA USALAMA YAIMARISHWA

23 Desemba 2003
NEW YORK: Hatua za kulinda usalama katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa zimeimarishwa,baada ya serikali mjini Washington kuonya kuwa kuna kitisho cha mashambulio ya kigaidi.Waziri wa ndani wa Marekani Tom Ridge siku ya jumapili alitangaza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kufanywa shambulio la kigaidi.Na siku ya jumatatu Rais George W.Bush aliwaambia wananchi waendelee na mipango yao ya kusheherekea Krismasi na mwaka mpya,licha ya kuwepo ulinzi mkali wa usalama.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW