1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hali ya utulivu yarejea DRC

22 Septemba 2016

Kinshasa kumetulia baada ya siku kadhaa za maandamano na mauaji. Wapinzani wanataka Rais Kabila atangaze tarehe ya uchaguzi mkuu. Je, ujumbe umefika? Mchambuzi Paul Mahwera anatoa tathmini yake.

Wanajeshi wa Umoja wa Mataifa Kinshasa
Picha: Getty Images/AFP/J. D. Kannah

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW