JamiiHali yarejea kama kawaida Tanzania01:39This browser does not support the video element.Jamii25.05.202025 Mei 2020Baadhi ya Watanzania wajivinjari fukweni na katika maeneo mengine ya starehe baada ya kuondoshwa marufuku ya janga la corona. Watu washiriki mikusanyiko huku waakionekana kutiochukua tahadhari. Je una maoni gani kwa hali hiyo. Kurunzi.Nakili kiunganishiMatangazo