SiasaMashariki ya KatiHamas, Israel waanza makubaliano usitishaji mapigano03:15This browser does not support the video element.SiasaMashariki ya KatiMohammed Khelef21.05.202121 Mei 2021Makubaliano ya kusitisha mapigano baina ya Israel na wapiganaji wa Hamas katika Ukanda wa Gaza yameanza kutekelezwa mapema leo, baada ya siku 11 za mashambulizi na mauaji ya kikatili.Nakili kiunganishiMatangazo