1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

HARARE: Imani ya kibiashara yazidi kutoweka Zimbabwe

10 Mei 2005

Imani ya kibiashara nchini Zimbabwe imezidi kupunguka,baada ya jitahada za serikali kutaka kuchangamsha uchumi uliodhoofika,kuzusha wimbi jipya la upungufu wa chakula,mafuta ya petroli na sarafu za kigeni,wanasema wadadisi.Mshauri maarufu wa uchumi wa kibinafsi,John Robertson amesema ni vigumu sana kuwa na mtazamo wa matumainio mazuri wakati ambapo hali yaonekana kuwa ni ya kukatisha tamaa na wakuu wenye dhima wanatumia takriban wakati wao wote kuwalaumu wengine.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW