1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

HARARE:Zimbabwe haitaporomoka asema Rais Mugabe

29 Agosti 2007

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe anapuuza matabirio kuwa taifa lake linalozongwa na mkwamo wa kiuchumi huenda likaporomoka.Kulingana na kiongozi huyo Uingereza iliyokuwa koloni wake inajaribu kumuondoa madarakani kwa kuiwekea Zimbabwe vikwazo vya kiuchumi.

Rais Mugabe aliyasema hayo alipokuwa akimkaribisha Rais Theodore Obiang Nguema wa Equatorial Guinea iliyo na utajiri mkubwa wa mafuta

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW