1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Kandanda

Harry Kane kurefusha mkataba Bayern

10 Agosti 2026

Taarifa zinaarifu kuwa mshambuliaji wa Bayern Munich Harry Kane anakaribia kurefusha mkataba wake na mabingwa hao wa Ujerumani.

Mshambuliaji wa Bayern Munich Harry Kane
Mshambuliaji wa Bayern Munich Harry KanePicha: Marc Niemeyer/kolbert-press/picture alliance

Inaarifiwa kuwa huenda Kane akasainimkataba mpya hadi mwaka 2029

Awali ilikuwa inadaiwa kuwa huenda Kaneambaye ameshinda mataji mawili ya Bundesliga na Bayarn, akaondoka na kurejea England ambako alikuwa anatarajiwa kuifukuza rekodi ya ufungaji katika ligi hiyo inayoshikiliwa na Alan Shearer.

Lakini Kane anadaiwa kufurahia maisha yake mjini Bayern na familia inafurahia kuishi mjini humo kwa hiyo haoni sababu ya kuondoka.

Kane kwa misimu miwili mfululizo amekuwa mfungaji bora katika Bundesliga.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW