1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hatari ya kutafuta maisha bora Ulaya

00:59

This browser does not support the video element.

24 Aprili 2018

Bahari ya Mediterenia imekuwa kama kaburi la halaiki kwa wahamiaji wa Afrika ambao wanatafuta kuingia Ulaya katika harakati za kutafuta maisha bora. Baada ya kusafiri mwendo mrefu kutoka nchi zilizo chini ya jangwa la Sahara wahamiaji hao wengi wao wakiwa ni vijana kutoka nchi za Afrika Magharibi, Eritrea na hata Djibouti huishia katika vituo Libya.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW