1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hatari ya kuwa mwanahabari Cameroon

02:22

This browser does not support the video element.

10 Agosti 2023

Mwanahabari wa Cameroon Paul Chouta ambaye pia ni mwanaharakati alitekwa nyara na watu wasiojulikana mnamo Machi 2022. Mwenzake Martinez Zogo aliuawa katika mazingira saw ana hayo mwaka 2023. Chouta angali anapigania haki yake na ya rafikiye. Vijana Mubashara 77Asilimia inaangazia msako huo wa haki.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW