SiasaHatimaye Trump akutana ana kwa ana na Kim01:10This browser does not support the video element.SiasaSylvia Mwehozi12.06.201812 Juni 2018Mkutano wa kihistoria kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un umemalizika nchini Singapore. Viongozi hao wametia saini nyaraka ya pamoja ya makubaliano kuhusu mambo kadhaa. Papo kwa Papo 12.06.2018.Nakili kiunganishiMatangazo