1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hekima za Mzee John Akhwari

00:58

This browser does not support the video element.

7 Mei 2018

Kutana mwanariadha aliyeipeperusha bendera ya Tanzania kwa ujasiri katika medani ya mchezo wa riadha John Akhwari.

Siku chache baada yakurejeea toka Marekani ambako alitukiwa nishani ya Uzalendo Ulio Tukuka, Mwanariadha wa kwanza kuiwakilisha Tanzania kwenye medani za Kimataifa na ambaye aliacha historia ya aina yake ya dunia nchini Mexico mwaka mawaka 1968 kwakumbia umbali wa kilometa 12 huku akiwa amevunjika mguu, John Akwari, ameshauri kuanzishwa kwa vituo vya kikanda nchini Tanzania ili kukuza vipaji vya michezo mbalimbali.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW