1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Helen Joseph: Mwanaharakati aliyejitolea kupinga utawala wa kibaguzi

02:36

This browser does not support the video element.

Yusra Buwayhid
7 Oktoba 2020

Helen Joseph mzaliwa wa Uingereza na kama mzungu alikuwa na kila sababu ya kuishi maisha mazuri Afrika Kusini, lakini alihatarisha maisha yake kuupinga utawala wa ubaguzi wa rangi nchini humo. DW inafuatilia maisha ya mwanaharakati huyo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW