1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hillary Clinton ndiye mgombea urais wa Democrats

00:26

This browser does not support the video element.

27 Julai 2016

Hillary Clinton ateuliwa rasmi kuwa mgombea urais wa chama cha Democrats Marekani, Viongozi wa dini Ufaransa watoa wito wa amani na mshikamano baada ya mauaji ya Kasisi Kanisani, Umoja wa Mataifa wamuonya Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir baada ya kumteua Makamu mpya wa Rais.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW