1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hispania kuifuata Ugiriki

15 Machi 2012

Baada ya Ugiriki kutumbukia kwenye dimbwi la madeni na kusambaratika kwa uchumi, kuna kila dalili sasa kwamba Hispania nayo iko njiani kuelekea huko, na tayari maandamano ya umma kupinga hatua za mageuzi yameanza.

Waziri Mkuu wa Hispania, Mariano Rajoy.
Waziri Mkuu wa Hispania, Mariano Rajoy.

Abdu Mtullya anaiangalia hali ya mambo nchini Hispania katika wakati ambao nchi hiyo inaaminika kuanza kutumbukia kwenye dimbwi la kufilisika. Kusikiliza makala hii, tafadhali bonyeza alama ya spika hapo chini.

Makala: Hispania yaifuata Ugiriki
Mtayarishaji/Msimulizi: Abdu Mtullya
Mhariri: Othman Miraji

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW