Historia ya kanga na maneno yake
6 Juni 2016Matangazo
Kanga au leso ni vazi ambalo linatumiwa sana Afrika hasa na wanawake. Je unafahamu historia ya leso? Maneno katika kanga hupitisha ujumbe maalum. Katika makala haya ya Sanaa na Utamaduni yaliyoandaliwa na John Juma, utasikia historia ya kanga na jinsi maneno ya kidijitali au kileo pia yanajipenyeza kwenye leso. Bonyeza alama ya kusikiliza upate kujua mengi zaidi