1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hofu ya madawa kuwaangamiza vijana Afrika Kusini

01:54

This browser does not support the video element.

10 Aprili 2018

Katika eneo la Beacon Valley, Afrika Kusini ukosefu wa ajira, uhalifu na matumizi ya madawa ya kulevya ni mambo yaliyokita mizizi. Kwa watoto wanaoishi eneo hili kuamka na kwenda shule asubuhi ni changamoto. Kundi moja la kina mama linajaribu kubadilisha taswira.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW