1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hofu ya Virusi vya Corona kuenea Ulaya yazidi kupanda

01:09

This browser does not support the video element.

26 Februari 2020

Wizara ya afya ya Jimbo la North Rhine Westphalia nchini Ujerumani imesema mtu alliyeambukizwa virusi vya Corona yuko katika hali mbaya na amepelekwa kwenye hospitali ya madaktari bingwa mjini Düsseldorf. Haya yanajiri wakati Italia ilioathirika pia na virusi hivyo ikitoa wito wa ushirikiano katika mapambano dhidi ya virusi vya Corona. #kurunzi 26.02.20

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW