1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Homa ya matumbo (typhoid) bado tishio

5 Aprili 2017

Wajumbe kutoka mataifa 45 wanaokutana Uganda wana hofu kuhusu kukabiliana na homa ya matumbo. Ugonjwa huo unaosambazwa kupitia hasa vyakula na maji ni tishio hasa kwa jamii zinazoishi katika makazi duni.

Mkutano juu ya homa ya matumbo Kampala
Picha: DW/E.Lubega

J3.05.04.2017-Uganda: International conference on typhoid - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

                       

Typhoid huwaathiri hasa watu kwenye mazingira duni kama vile wakimbizi hawa wanaoishi kwenye kambi Kigoma, TanzaniaPicha: Reuters/T. Mukoya
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW