1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

ICC yamtia hatiani Ntaganda

01:04

This browser does not support the video element.

8 Julai 2019

Mbabe wa zamani wa kivita wa Kongo, Bosco Ntaganda, amekutikana na hatia ya makosa 18 ya uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinaadamu na majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, ICC.

Uhalifu huo ulitendeka wakati Ntaganda akiongoza kikosi cha waasi cha PFLC, tawi la kijeshi la chama cha UCP, kwenye jimbo la kaskazini mashariki la Ituri baina ya mwaka 2002 na 2003.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW