1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

ICC yamuhukumu Bemba

01:40

This browser does not support the video element.

22 Machi 2017

Mahakama ya kimataifa ya makosa ya Uhalifu, ICC yamuhukumu kifungo cha mwaka mmoja jela aliyekuwa makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo kwa kosa la kuhonga mashahidi, Dunia bado yatishiwa na kitisho cha kuongezeka kwa joto na mwanandinga wa Ujerumani, Podolski kuachana na soka la kimataifa.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW