1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ice-cream zilizotiwa ladha ya vyakula vya kiafrika.

03:44

This browser does not support the video element.

24 Januari 2023

Tapiwah Ghuze ni kijana aliyejiajiri mjini Cape Town kutengeneza Ice-cream kwa kutumia ladha ya vyakula vya kiafrika. Anataka kuondoa ukoloni wa utamaduni wa chakula na kuwafanya Waafrika wajivunie historia yao. Fikiria Ice-Cream iliyotengenezwa kutokana na dagaa waliokaushwa. #vijanamubashara

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Vijana Mubashara

Vijana Mubashara

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW