1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Idlib yatisha

01:09

This browser does not support the video element.

Saumu Mwasimba
10 Septemba 2018

Wanajeshi wa Syria,Urusi na Iran wameizunguka Idlib wakijiandaa kufanya mashambulizi ambayo huenda yakawa ya maangamizi makubwa nchini Syria,ni baada ya kushindwa kwa juhudi za kutafuta usitishaji mapigano.Maelfu wameukimbia mkoa huo wa Kaskazini Magharibi mwa Syria