1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

IEBC: Makamishna kamwe hawatang'atuka

Elizabeth Shoo5 Mei 2016

Tume ya Uchaguzi Kenya imesema makamishna wake hawataachia ngazi, licha ya shinikizo kutoka upande wa upinzani, viongozi wa makanisa na maafisa wa kibalozi wanaotaka tume hiyo ifanyiwe marekebisho.

Katuni ya Gado kuhusu Tume ya Uchaguzi Kenya, IEBC
Picha: Godfrey Mwampembwa aka Gado

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW