1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ijumaa ya kwanza ya mwezi wa ramadhani mjini Mombasa

03:33

This browser does not support the video element.

16 Aprili 2021

Ingawa bado janga la COVID-19 lipo na kungali na makatazo ya kutotoka nje usiku kwa baadhi ya maeneo, hapa katika soko la Marikiti, mjini Mombasa, pwani ya Kenya, kunakouzwa bidhaa mbalimbali za mapishi, shughuli za biashara zinaendelea kama kawaida huku wafanyabiashara wakiendelea kuhudumia wateja wachache wanaokuja kufanya ununuzi wa mahitaji yao ya Ramadhani.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW