1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Iran haina azma ya silaha za atomiki

9 Septemba 2007

TEHERAN:

Kiongozi mkuu wa kidini nchini Iran, Ayatollah Ali Khamenei,alisisitiza leo kwamba nchi yake haina nia ya kuunda silaha za kinuklia .

Iran ambayo daima ikitetea haki yake kuendeleza mradi wake wa kinuklia pia inakanusha mashtaka ya Marekani na ya nchi nyengine kuwa ina azma ya kuunda silaha za
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW