1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Isaac Gamba aagwa Mwanza

03:43

This browser does not support the video element.

30 Oktoba 2018

Mwili wa mtangazaji mwenzetu Isaac Gamba umeagwa hii leo Jijini Mwanza na watu mbalimbali, na hatimaye kuanza safari ya kwenda kupumzishwa kwenye nyumba yake ya milele, huko wilayani Bunda. Vidio hii ina mengi zaidi. Buriani Gamba.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW