1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Isaya Mwita awa meya mpya wa Dar es Salaam

Elizabeth Shoo22 Machi 2016

Chama cha upinzani Tanzania Chadema kimepata ushindi katika uchaguzi wa umeya wa Dar es salaam baada ya uchaguzi huo kuahirishwa kwa mara kadhaa. Hii ni mara ya kwanza kwa CCM kushindwa kutoa meya.

Dar es Salaam, Tanzania
Picha: imago/Xinhua/Z. Ping

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW