1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ismat ni mwanasarakasi jasiri licha ya ulemavu

02:55

This browser does not support the video element.

22 Januari 2021

Mohammad Ismat (29) kutoka Mombasa, Kenya ni mchezaji densi, mwana sarakasi na pia mwalimu wa Yoga. Kijana huyu ameweza kufanya yote hayo licha ya kuwa na ulemavu wa macho alioupata baada ya kupata saratani. #Kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW