1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Sheria na HakiKimataifa

Israel epusheni mauaji ya halaiki Gaza

02:21

This browser does not support the video element.

26 Januari 2024

Mahakama ya Umoja wa Mataifa ICJ imeiamuru Israel kuzuwia vitendo vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina, na kuchukua hatua zaidi kuwasaidia raia, ingawa imesita kuamuru usitishaji mapigano kama ambavyo Afrika Kusini ilikuwa imeiomba.