1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Israel yaanza kuwaondosha wahamiaji kutoka Afrika

01:57

This browser does not support the video element.

4 Januari 2018

Serikali ya Israel imeanza kutekeleza mpango wake wa kuwaondoa maelfu ya wahamiaji kutoka Afrika walioko nchini humo, hadi ifikapo mwezi Aprili huku ikitishia kuwakamata wale watakaobaki. Hata hivyo agizo hilo limekosolewa na mashirika ya utetezi wa haki za binaadamu yakidai linakiuka haki za wahamiaji.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW