1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Israel yaishambulia Syria

01:15

This browser does not support the video element.

17 Julai 2025

Israel imeshambulia Makao Makuu ya Jeshi la Syria na maeneo karibu na Ikulu mjini Damascus, wakati mapigano kati ya serikali ya Syria na kundi dogo la Wadruze yakiendelea. Baada ya mashambulizi hayo, Marekani imetangaza kuwa pande zote zimekubaliana kuchukua “hatua mahususi” za kusitisha machafuko.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW