1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Israel yaishutumu Iran kuhusu nyuklia

00:48

This browser does not support the video element.

1 Mei 2018

Israel imeishutumu Iran kwa kuzificha silaha za nyuklia kwenye eneo la siri, baada ya kugundua maelfu ya makabrasha yanayoonesha kuwa Iran imedanganya. Hata hivyo, Iran imezikanusha shutuma hizo ikisema ni propaganda.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW