SiasaIsrael yaishutumu Iran kuhusu nyuklia 00:48This browser does not support the video element.SiasaGrace Kabogo01.05.20181 Mei 2018Israel imeishutumu Iran kwa kuzificha silaha za nyuklia kwenye eneo la siri, baada ya kugundua maelfu ya makabrasha yanayoonesha kuwa Iran imedanganya. Hata hivyo, Iran imezikanusha shutuma hizo ikisema ni propaganda. Nakili kiunganishiMatangazo