Israel yasema imewauwa watu wawili katika Ukanda wa Gaza
15 Februari 2026
Matangazo
Mstari huo unaashiria eneo lisilokuwa na shughuli za kijeshi ambalo wanajeshi wa Israel walijiondoa kama sehemu ya makubaliano ya kusitisha mapigano na kundi la wanamgambo la Hamas.
Pia limedai kuwa "magaidi" waliibuka kutoka kwa miundombinu ya chini ya ardhi na kujificha chini ya vifusi karibu na vikosi vya Israel, na kusababisha kile ilichokiita "tishio."
Taarifa hizo hazikuweza kuthibitishwa kwa njia huru.